Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kusafiri na watoto wake kwa ndege kwa muda wa masaa matatu?
Jibu: Ikiwa watoto wake ni wakiume na wameshabaleghe, hakuna neno. Mvulana ambaye kishabaleghe anakuwa ni Mahram. Ikiwa miongoni mwao kuko ambaye kishabaleghe na ana akili, anakuwa ni Mahram wake. Ama ikiwa bado ni wadogo na hawajabaleghe, si sawa na hawawezi kuwa Mahram wake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (68) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13864
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kusafiri na watoto wake kwa ndege kwa muda wa masaa matatu?
Jibu: Ikiwa watoto wake ni wakiume na wameshabaleghe, hakuna neno. Mvulana ambaye kishabaleghe anakuwa ni Mahram. Ikiwa miongoni mwao kuko ambaye kishabaleghe na ana akili, anakuwa ni Mahram wake. Ama ikiwa bado ni wadogo na hawajabaleghe, si sawa na hawawezi kuwa Mahram wake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (68) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13864
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/mama-kusafiri-na-ndege-akiwa-na-watoto-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)