Swali: Kuna mtu amezikwa na hazina. Je, inajuzu kufukua kaburi na kutoa hazina hiyo pamoja na kuzingatia kuwa mtawala katika nchi yetu anakataza ufukuaji wa sampuli hii?
Jibu: Ikiwa maiti amezikwa na mali lifukuliwe na mali hiyo itolewe. Haijuzu kuharibu pesa. Haimnufaishi kitu maiti. Kwa vile haifai kuharibu mali, kitendo hichi kinajuzu ikiwa hakutotokea matatizo yoyote. Ikiwa kutatokea matatizo iacheni.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (41) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%204%20-%201%20-%201437.mp3
- Imechapishwa: 13/03/2017
Swali: Kuna mtu amezikwa na hazina. Je, inajuzu kufukua kaburi na kutoa hazina hiyo pamoja na kuzingatia kuwa mtawala katika nchi yetu anakataza ufukuaji wa sampuli hii?
Jibu: Ikiwa maiti amezikwa na mali lifukuliwe na mali hiyo itolewe. Haijuzu kuharibu pesa. Haimnufaishi kitu maiti. Kwa vile haifai kuharibu mali, kitendo hichi kinajuzu ikiwa hakutotokea matatizo yoyote. Ikiwa kutatokea matatizo iacheni.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (41) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%204%20-%201%20-%201437.mp3
Imechapishwa: 13/03/2017
https://firqatunnajia.com/mali-iliyofukiwa-pamoja-na-maiti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)