Swali: Je, inajuzu kuwaita manaswara ´wakristo`?
Jibu: Hili ni jina lililozoeleka hii leo. Allaah amewaita katika Qur-aan ´manaswara`. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewaita ´manaswara`. Wanachuoni wa waislamu wamewaita ´manaswara`. Hali iliendelea hivo mpaka punde tu wakati ambapo manaswara walipoenda kukoloni baadhi ya miji ya Kiislamu ndipo wakasema ya kwamba sisi ni wafuasi wa Muhammad na wao eti ni wakristo (مسيحيون). Malengo yao ni kutaka umoja kati ya waislamu na manaswara.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (30) http://binothaimeen.net/content/682
- Imechapishwa: 18/10/2017
Swali: Je, inajuzu kuwaita manaswara ´wakristo`?
Jibu: Hili ni jina lililozoeleka hii leo. Allaah amewaita katika Qur-aan ´manaswara`. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewaita ´manaswara`. Wanachuoni wa waislamu wamewaita ´manaswara`. Hali iliendelea hivo mpaka punde tu wakati ambapo manaswara walipoenda kukoloni baadhi ya miji ya Kiislamu ndipo wakasema ya kwamba sisi ni wafuasi wa Muhammad na wao eti ni wakristo (مسيحيون). Malengo yao ni kutaka umoja kati ya waislamu na manaswara.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (30) http://binothaimeen.net/content/682
Imechapishwa: 18/10/2017
https://firqatunnajia.com/malengo-ya-chimbuko-la-neno-wakristo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)