Maiti ameacha wasia aswaliwe kwenye msikiti wa Makkah

Swali: Kuna mwanamke amekufa na ameandika katika wasia wake kwamba anataka aswaliwe katika Msikiti mtakatifu wa Makkah na sisi tunaishi Riyaadhw. Je, ni lazima kwetu kutekeleza wasia huu?

Jibu: Hapana. Sio lazima kutekeleza wasia huu. Miji ya Waislamu yote ni sawa na himdi zote ni Zake Allaah. Aswaliwe pamoja na Waislamu katika mji ambapo amekufa ndani yake.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (49) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-5-13.mp3
  • Imechapishwa: 16/11/2014