Swali: Kuna mtu ameoa mwanamke ambaye yuko na wasichana kutoka kwa yule mume wake wa kabla. Je, huyu mume mpya ni Mahram wao?
Jibu: Ndio. Yeye ni mume wa mama yao. Wao wanakuwa ni wasichana wake wa kambo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (64) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%2019-03-1438H.mp3%2001.mp3
- Imechapishwa: 09/10/2017
Swali: Kuna mtu ameoa mwanamke ambaye yuko na wasichana kutoka kwa yule mume wake wa kabla. Je, huyu mume mpya ni Mahram wao?
Jibu: Ndio. Yeye ni mume wa mama yao. Wao wanakuwa ni wasichana wake wa kambo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (64) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%2019-03-1438H.mp3%2001.mp3
Imechapishwa: 09/10/2017
https://firqatunnajia.com/mahram-wa-wasichana-wa-kambo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)