Swali: Mwanamke ambaye ni bibi kizee ni lazima awe na Mahram katika safari?
Jibu: Ndio. Hadiyth ni yenye kuenea:
“Si halali kwa mwanamke anayemuamini Allaah na siku ya Mwisho kusafiri isipokuwa awe pamoja naye Mahram.”[1]
Ni mamoja mwanamke huyo ni kijana au ni mzee. Hadiyth ni yenye kuenea. Haijuzu kuikhusisha isipokuwa kwa dalili kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
[1] al-Bukhaariy (1088) na Muslim (1339).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (12) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdah%20Fiqh-19-10-1434_0.mp3
- Imechapishwa: 17/09/2017
Swali: Mwanamke ambaye ni bibi kizee ni lazima awe na Mahram katika safari?
Jibu: Ndio. Hadiyth ni yenye kuenea:
“Si halali kwa mwanamke anayemuamini Allaah na siku ya Mwisho kusafiri isipokuwa awe pamoja naye Mahram.”[1]
Ni mamoja mwanamke huyo ni kijana au ni mzee. Hadiyth ni yenye kuenea. Haijuzu kuikhusisha isipokuwa kwa dalili kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
[1] al-Bukhaariy (1088) na Muslim (1339).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (12) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdah%20Fiqh-19-10-1434_0.mp3
Imechapishwa: 17/09/2017
https://firqatunnajia.com/mahram-wa-bibi-kizee/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)