Swali: Ni yapi mahari ya Kishari´ah kwa msichana ambaye hajaolewa na mwanamke ambaye kishatalikiwa?
Jibu: Mahari hayana mpaka maalumu. Hakukutengwa mahari maalumu kwa yule ambaye hajaolewa, ambaye katalikiwa wala yule ambaye kafiwa. Atayowekea hata kama yatakuwa ni madogo, yatosha. Sawa mwanamke huyo alikuwa ni bikira hajaolewa, alikuwa amekatalikiwa au alikuwa amefiwa. Watayopatana mwanaume na mwanamke yanatosha, sawa yakiwa madogo au yakiwa mengi.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Nuur ´alaad-Darb
- Imechapishwa: 22/03/2018
Swali: Ni yapi mahari ya Kishari´ah kwa msichana ambaye hajaolewa na mwanamke ambaye kishatalikiwa?
Jibu: Mahari hayana mpaka maalumu. Hakukutengwa mahari maalumu kwa yule ambaye hajaolewa, ambaye katalikiwa wala yule ambaye kafiwa. Atayowekea hata kama yatakuwa ni madogo, yatosha. Sawa mwanamke huyo alikuwa ni bikira hajaolewa, alikuwa amekatalikiwa au alikuwa amefiwa. Watayopatana mwanaume na mwanamke yanatosha, sawa yakiwa madogo au yakiwa mengi.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Nuur ´alaad-Darb
Imechapishwa: 22/03/2018
https://firqatunnajia.com/mahari-ya-bikira-na-asiyekuwa-bikira/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)