Swali: Ni ipi hukumu ya kuvaa pete ya chuma? Je, imethibiti kuwa ni pambo la watu wa Motoni?
Jibu: Imechukizwa. Imechukizwa kuvaa pete ya chuma. Lakini hata hivyo imetuhusiwa. Kwa dalili ya maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliposema kumwambia mwanaume yule aliyemuomba amuozeshe mwanamke baada ya kumwomba atoe mahari na hakuwa na kitu ndipo akamwambia:
“Tafuta japo pete ya chuma.”
Haya yanathibitisha kujuzu kwa pete ya chuma. Inafahamisha kuwa imechukizwa machukizo ambayo sio ya haramu. Lakini wakati wa haja machukizo yanaondoka.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (9) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340506.mp3
- Imechapishwa: 04/04/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kuvaa pete ya chuma? Je, imethibiti kuwa ni pambo la watu wa Motoni?
Jibu: Imechukizwa. Imechukizwa kuvaa pete ya chuma. Lakini hata hivyo imetuhusiwa. Kwa dalili ya maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliposema kumwambia mwanaume yule aliyemuomba amuozeshe mwanamke baada ya kumwomba atoe mahari na hakuwa na kitu ndipo akamwambia:
“Tafuta japo pete ya chuma.”
Haya yanathibitisha kujuzu kwa pete ya chuma. Inafahamisha kuwa imechukizwa machukizo ambayo sio ya haramu. Lakini wakati wa haja machukizo yanaondoka.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (9) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340506.mp3
Imechapishwa: 04/04/2017
https://firqatunnajia.com/machukizo-ya-kuvaa-pete-ya-chuma/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)