Swali: Kuoga janaba kwa njia inayotosheleza kunaangusha uwajibu wa kutia wudhuu´[1]?
Jibu: Wanachuoni wametofautiana juu ya hilo. Wako wanachuoni waliosema kwamba mtu akijisafisha tupu yake vizuri kwa maji kisha akaeneza maji vizuri hadathi inaondoka. Wapo wengine waliosema kwamba ni lazima kwa mtu kutawadha. Lililo salama zaidi kwa mtu atawadhe.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/uogaji-wa-kishariah-unamtosha-mtu-kutohitajia-kutawadha/
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (04) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/431/431.mp3
- Imechapishwa: 09/07/2018
Swali: Kuoga janaba kwa njia inayotosheleza kunaangusha uwajibu wa kutia wudhuu´[1]?
Jibu: Wanachuoni wametofautiana juu ya hilo. Wako wanachuoni waliosema kwamba mtu akijisafisha tupu yake vizuri kwa maji kisha akaeneza maji vizuri hadathi inaondoka. Wapo wengine waliosema kwamba ni lazima kwa mtu kutawadha. Lililo salama zaidi kwa mtu atawadhe.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/uogaji-wa-kishariah-unamtosha-mtu-kutohitajia-kutawadha/
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (04) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/431/431.mp3
Imechapishwa: 09/07/2018
https://firqatunnajia.com/lililo-salama-zaidi-kwa-mtu-atawadhe-baada-ya-kuoga-janaba/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)