Swali: Mwenye kupindukia kumpenda mtu ambapo akayatanguliza maneno yake kabla ya maneno ya Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Jibu: Haya ni maasi. Ni kufuata kipofu. Akiwa ni mwenye kuona kwamba kitendo hicho ni halali na kwamba maneno ya Shaykh wake ni yenye kutangulizwa mbele ya maneno ya Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), anakufuru kufuru kubwa. Hapo ni pale ambapo atahalalisha kitendo hicho.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 41
- Imechapishwa: 16/06/2019
Swali: Mwenye kupindukia kumpenda mtu ambapo akayatanguliza maneno yake kabla ya maneno ya Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Jibu: Haya ni maasi. Ni kufuata kipofu. Akiwa ni mwenye kuona kwamba kitendo hicho ni halali na kwamba maneno ya Shaykh wake ni yenye kutangulizwa mbele ya maneno ya Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), anakufuru kufuru kubwa. Hapo ni pale ambapo atahalalisha kitendo hicho.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 41
Imechapishwa: 16/06/2019
https://firqatunnajia.com/kuyatanguliza-maneno-ya-shaykh-wake-kabla-ya-qur-aan-na-sunnah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)