Swali: Sigara, kujitoa manii na kunyoa ndevu[1] ni katika madhambi makubwa?
Jibu: Kufanya mambo wazi wazi [pasina kujificha] na kudumu nayo, kunafanya yanakuwa madhambi makubwa. Ama ikiwa mtu alifanya mara moja na akatubu na baadae akaacha, anasamehewa na inakuwa ni dhambi ndogo.
[1] https://firqatunnajia.com/kwa-sababu-kunyoa-ndevu-ni-dhambi-kubwa/
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_07.mp3
- Imechapishwa: 27/06/2018
Swali: Sigara, kujitoa manii na kunyoa ndevu[1] ni katika madhambi makubwa?
Jibu: Kufanya mambo wazi wazi [pasina kujificha] na kudumu nayo, kunafanya yanakuwa madhambi makubwa. Ama ikiwa mtu alifanya mara moja na akatubu na baadae akaacha, anasamehewa na inakuwa ni dhambi ndogo.
[1] https://firqatunnajia.com/kwa-sababu-kunyoa-ndevu-ni-dhambi-kubwa/
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_07.mp3
Imechapishwa: 27/06/2018
https://firqatunnajia.com/kuyaonyesha-madhambi-hadharani-ni-dhambi-kubwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)