Swali: Ni ipi hukumu ya kununua bidhaa fulani katika duka linalouza sigara?
Jibu: Haitakikani kununua kutoka hapo. Kwa sababu ni katika kukemea jambo isipokuwa kwa nji ya kukemea. Ni sawa ikiwa utamkemea. Lakini inatakikana kuwahama na kuwaepuka ili watu wasinunue kutoka kwao. Endapo watu wataacha kununua kutoka katika duka hili linalouza sigara na wasinunue kutoka hapo basi jambo hilo lingewazuia.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (14) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=audioinfo&audioid=191634
- Imechapishwa: 28/03/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kununua bidhaa fulani katika duka linalouza sigara?
Jibu: Haitakikani kununua kutoka hapo. Kwa sababu ni katika kukemea jambo isipokuwa kwa nji ya kukemea. Ni sawa ikiwa utamkemea. Lakini inatakikana kuwahama na kuwaepuka ili watu wasinunue kutoka kwao. Endapo watu wataacha kununua kutoka katika duka hili linalouza sigara na wasinunue kutoka hapo basi jambo hilo lingewazuia.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (14) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=audioinfo&audioid=191634
Imechapishwa: 28/03/2020
https://firqatunnajia.com/kutonunua-bidhaa-katika-maduka-ya-waislamu-yanayouza-sigara/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)