Swali: Ni ipi hukumu kwa mwenye kuswali lakini haleti Adhkaar na Istighfaar baada yake?
Jibu: Huu ni upungufu. Ujira wake unapungua kwa kukosa kuleta Adhkaar zilizowekwa baada ya swalah. Huyu amejinyima mwenyewe. Anatakiwa kuleta Adhkaar baada ya swalah ili ujira wake utimie baada ya hapo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13980
Swali: Ni ipi hukumu kwa mwenye kuswali lakini haleti Adhkaar na Istighfaar baada yake?
Jibu: Huu ni upungufu. Ujira wake unapungua kwa kukosa kuleta Adhkaar zilizowekwa baada ya swalah. Huyu amejinyima mwenyewe. Anatakiwa kuleta Adhkaar baada ya swalah ili ujira wake utimie baada ya hapo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13980
https://firqatunnajia.com/kutoleta-adhkaar-za-baada-ya-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)