Swali 1170: Je, kuwatahiri wanawake ni desturi mbaya? Nimesoma kwenye gazeti fulani ya kwamba kumtahiri mwanamke kwa aina yoyote ile ni desturi mbaya na aidha ni jambo lenye madhara inapokuja katika afya na kwamba wakati mwingine inaweza kupelekea katika utasa. Je, haya ni kweli?
Jibu: Kuwatahiri wanawake katika wasichana wa Aadam ni Sunnah. Sio desturi mbaya. Ni jambo halina madhara akifanya kati na kati. Ama akifanya kwa kupindukia kunaweza kutokea madhara.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 468
- Imechapishwa: 13/10/2019
Swali 1170: Je, kuwatahiri wanawake ni desturi mbaya? Nimesoma kwenye gazeti fulani ya kwamba kumtahiri mwanamke kwa aina yoyote ile ni desturi mbaya na aidha ni jambo lenye madhara inapokuja katika afya na kwamba wakati mwingine inaweza kupelekea katika utasa. Je, haya ni kweli?
Jibu: Kuwatahiri wanawake katika wasichana wa Aadam ni Sunnah. Sio desturi mbaya. Ni jambo halina madhara akifanya kati na kati. Ama akifanya kwa kupindukia kunaweza kutokea madhara.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 468
Imechapishwa: 13/10/2019
https://firqatunnajia.com/kutahiriwa-mwanamke-kwa-wastani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)