Swali: Ni kipi kitabu bora kinachozungumzia fitina iliotokea baina ya ´Aliy na Mu´aawiyah (Radhiya Allaahu ´anhumaa)?
Jibu: Sionelei usome kitabu hicho. Naonelea usalimike na usisome kitu katika mambo haya. Yatakupelekea kuwa na kitu ndani ya moyo wako juu ya Maswahabah, ukamtia makosani mmoja na mwingine katika usawa pasi na dalili. Vilevile inaweza kupelekea ukawa na kinyongo au chuki kwa baadhi yao. Mimi sionelei usome vitabu vya fitina.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (04) http://alfawzan.af.org.sa/node/2047
- Imechapishwa: 13/11/2016
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket