84 – Ahmad bin Muhammad bin Yuusuf ametuhadithia, kutoka kwa Ibn Ziyaad: al-Hasan bin ´Aliy bin Shabiyb ametuhadithia: Nilimsikia Muhammad bin Khalaf al-´Asqalaaniy akisema: Muhammad bin Yuusuf ametuhadithia, kutoka kwa Ibn Thawbaan, kutoka kwa baba yake, kutoka kwa Makh-uul, kutoka kwa Khaalid bin Ma´daan, kutoka kwa Kathiyr bin Murrah ambaye amesema:
“Kila usiku wa nusu Sha´baan Allaah (´Azza wa Jall) huwatazama watu wa ardhini ambapo akawasamehe isipokuwa mshirikina au mwenye chuki.”
- Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 166
- Imechapishwa: 09/05/2020
- taaliki: ´Allaamah ´Aliy bin Naaswir al-Faqiyhiy
84 – Ahmad bin Muhammad bin Yuusuf ametuhadithia, kutoka kwa Ibn Ziyaad: al-Hasan bin ´Aliy bin Shabiyb ametuhadithia: Nilimsikia Muhammad bin Khalaf al-´Asqalaaniy akisema: Muhammad bin Yuusuf ametuhadithia, kutoka kwa Ibn Thawbaan, kutoka kwa baba yake, kutoka kwa Makh-uul, kutoka kwa Khaalid bin Ma´daan, kutoka kwa Kathiyr bin Murrah ambaye amesema:
“Kila usiku wa nusu Sha´baan Allaah (´Azza wa Jall) huwatazama watu wa ardhini ambapo akawasamehe isipokuwa mshirikina au mwenye chuki.”
Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 166
Imechapishwa: 09/05/2020
taaliki: ´Allaamah ´Aliy bin Naaswir al-Faqiyhiy
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-usiku-wa-nusu-ya-shabaan-kupitia-upokezi-wa-kathiyr-bin-murrah-al-hadhwramiy-03/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)