10- ´Abdullaah bin Muhammad bin Ziyaad ametuhadithia: Abu Umayyah na Muhammad bin ´Abdil-Malik amenihadithia: Ja´far bin ´Awn ametuhadithia: Ibraahiym al-Hajariy ametuhadithia, kutoka kwa Abul-Ahwas, kutoka kwa ´Abdullaah ambaye amesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) huifungua milango ya mbingu katika ile theluthi ya usiku wa mwisho uliyobaki. Kisha Anashuka katika mbingu ya dunia ambapo anaikunjua mikono Yake na kusema mpaka alfajiri inaingia: “Hakuna mja mwenye kuniomba nimpe?”
Ja´far hakuirufaisha kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 99
- Imechapishwa: 15/01/2018
10- ´Abdullaah bin Muhammad bin Ziyaad ametuhadithia: Abu Umayyah na Muhammad bin ´Abdil-Malik amenihadithia: Ja´far bin ´Awn ametuhadithia: Ibraahiym al-Hajariy ametuhadithia, kutoka kwa Abul-Ahwas, kutoka kwa ´Abdullaah ambaye amesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) huifungua milango ya mbingu katika ile theluthi ya usiku wa mwisho uliyobaki. Kisha Anashuka katika mbingu ya dunia ambapo anaikunjua mikono Yake na kusema mpaka alfajiri inaingia: “Hakuna mja mwenye kuniomba nimpe?”
Ja´far hakuirufaisha kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 99
Imechapishwa: 15/01/2018
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-kupitia-upokezi-wa-abdullaah-bin-masuud-3/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)