Swali: Inajuzu kwangu kusafiri kwenda katika miji ya makafiri kwa ajili ya utalii peke yake kwa kuzingatia ya kwamba nitajiepusha na zile sehemu za fitina?

Jibu: Haijuzu kusafiri kwenda katika miji ya makafiri isipokuwa tu kwa sababu ya matibabu, biashara au kwa ajili ya kumtembelea ndugu miongoni mwa ndugu zako kwa lengo la kuunga udugu. Hizi hazina neno.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17479
  • Imechapishwa: 25/11/2017