Swali: Je, kuonja chakula kunaharibu swawm?
Jibu: Mtu akionja chakula swawm yake haiharibiki midhali hakumeza. Lakini mtu asifanye hivo isipokuwa kama kuna haja ya kufanya hivo. Katika hali hii kukiingia kitu tumboni mwako pasi na kukusudia swawm yako haiharibiki.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (01/356-357)
- Imechapishwa: 11/06/2017
Swali: Je, kuonja chakula kunaharibu swawm?
Jibu: Mtu akionja chakula swawm yake haiharibiki midhali hakumeza. Lakini mtu asifanye hivo isipokuwa kama kuna haja ya kufanya hivo. Katika hali hii kukiingia kitu tumboni mwako pasi na kukusudia swawm yako haiharibiki.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (01/356-357)
Imechapishwa: 11/06/2017
https://firqatunnajia.com/kuonja-chakula-mchana-wa-ramadhaan-kunaharibu-swawm/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)