Swali: Mswaliji akisoma maneno Yake (Ta´ala):
إِنَّ اللَّـهَ وَمَلَائِكَتَهُ يُصَلُّونَ عَلَى النَّبِيِّ ۚ يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا صَلُّوا عَلَيْهِ وَسَلِّمُوا تَسْلِيمًا
“Hakika Allaah na Malaika Wake wanamswalia Mtume. Hivyo enyi walioamini mswalieni na mumsalimu kwa salamu.” (33:56)
akapita katika Aayah ya Istighfaar au mengineyo aitamke ndani ya swalah au aombe Istighfaar?
Jibu: Hayo yamependekezwa katika swalah ya sunnah kama vile kisimamo cha usiku. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiswali Tahajjud usiku ambapo anaposoma Aayah ya rehema anaiomba, anapopita katika Aayah ya kinga anajikinga na anapopita katika Aayah ya Tasbiyh anasabihi. Allaah (Ta´ala) amesema:
لَّقَدْ كَانَ لَكُمْ فِي رَسُولِ اللَّـهِ أُسْوَةٌ حَسَنَةٌ
“Hakika mna kigezo chema kwa Mtume wa Allaah.” (33:21)
Vilevile Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swalini kama mlivyoniona nikiswali.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy katika “as-Swahiyh” yake.
[1] al-Bukhaariy (7246) na ad-Daarimiy (1253).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (30/41)
- Imechapishwa: 03/06/2018
Swali: Mswaliji akisoma maneno Yake (Ta´ala):
إِنَّ اللَّـهَ وَمَلَائِكَتَهُ يُصَلُّونَ عَلَى النَّبِيِّ ۚ يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا صَلُّوا عَلَيْهِ وَسَلِّمُوا تَسْلِيمًا
“Hakika Allaah na Malaika Wake wanamswalia Mtume. Hivyo enyi walioamini mswalieni na mumsalimu kwa salamu.” (33:56)
akapita katika Aayah ya Istighfaar au mengineyo aitamke ndani ya swalah au aombe Istighfaar?
Jibu: Hayo yamependekezwa katika swalah ya sunnah kama vile kisimamo cha usiku. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiswali Tahajjud usiku ambapo anaposoma Aayah ya rehema anaiomba, anapopita katika Aayah ya kinga anajikinga na anapopita katika Aayah ya Tasbiyh anasabihi. Allaah (Ta´ala) amesema:
لَّقَدْ كَانَ لَكُمْ فِي رَسُولِ اللَّـهِ أُسْوَةٌ حَسَنَةٌ
“Hakika mna kigezo chema kwa Mtume wa Allaah.” (33:21)
Vilevile Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swalini kama mlivyoniona nikiswali.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy katika “as-Swahiyh” yake.
[1] al-Bukhaariy (7246) na ad-Daarimiy (1253).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (30/41)
Imechapishwa: 03/06/2018
https://firqatunnajia.com/kuomba-maghfirah-na-rahmah-katika-swalah-ya-usiku/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)