Swali: Lakini nchi nyingi ardhi inamilikiwa na nchi na mtu anakuwa ni mwenye kununua nyumba ilioko juu yake. Je, biashara mfano wa hii inafaa, bi maana kukauzwa nyumba pasi na ardhi?
Jibu: Ndio. Jengo na yote yanayojumuisha katika nyenzo vinakuwa ni vya yule mteja. Hata hivyo anakuwa hakununua ardhi. Ununuzi unakuwa katika vile vifaa vya jengo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (28)
- Imechapishwa: 29/01/2022
Swali: Lakini nchi nyingi ardhi inamilikiwa na nchi na mtu anakuwa ni mwenye kununua nyumba ilioko juu yake. Je, biashara mfano wa hii inafaa, bi maana kukauzwa nyumba pasi na ardhi?
Jibu: Ndio. Jengo na yote yanayojumuisha katika nyenzo vinakuwa ni vya yule mteja. Hata hivyo anakuwa hakununua ardhi. Ununuzi unakuwa katika vile vifaa vya jengo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (28)
Imechapishwa: 29/01/2022
https://firqatunnajia.com/kununua-nyumba-pasi-na-ardhi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)