Swali: Ni ipi hukumu ya kumpanga jina “Bayaan” mtoto wa kike?
Jibu: Kimsingi ni kufaa isipokuwa katika yale ambayo dalili imejulisha kuwa ni haramu, majina maalum kwa wanamme au majina maalum kwa wanawake. Mfano kumwita mtoto wa kike Malaak, ni kitu kisichofaa. Kwa sababu ni lugha yenye manaa ya mfalme. Sababu nyingine kufanya hivo ni katika kumwita mfalme kwa dhamira ya kike. Amesema (Ta´ala):
إِنَّ الَّذِينَ لَا يُؤْمِنُونَ بِالْآخِرَةِ لَيُسَمُّونَ الْمَلَائِكَةَ تَسْمِيَةَ الْأُنثَىٰ
“Hakika wale amabo hawaamini Aakhirah bila shaka wanawaita Malaika kwa majina ya kike.”[1]
[1] 53:27
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (14)
- Imechapishwa: 05/06/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kumpanga jina “Bayaan” mtoto wa kike?
Jibu: Kimsingi ni kufaa isipokuwa katika yale ambayo dalili imejulisha kuwa ni haramu, majina maalum kwa wanamme au majina maalum kwa wanawake. Mfano kumwita mtoto wa kike Malaak, ni kitu kisichofaa. Kwa sababu ni lugha yenye manaa ya mfalme. Sababu nyingine kufanya hivo ni katika kumwita mfalme kwa dhamira ya kike. Amesema (Ta´ala):
إِنَّ الَّذِينَ لَا يُؤْمِنُونَ بِالْآخِرَةِ لَيُسَمُّونَ الْمَلَائِكَةَ تَسْمِيَةَ الْأُنثَىٰ
“Hakika wale amabo hawaamini Aakhirah bila shaka wanawaita Malaika kwa majina ya kike.”[1]
[1] 53:27
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (14)
Imechapishwa: 05/06/2020
https://firqatunnajia.com/kumwita-mtoto-wa-kike-bayaan-na-malaaka/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)