Swali: Inajuzu kwa mtu kumwita baba yake kwa kun-ya yake ikiwa baba yake halichukii hilo?
Jibu: Ikiwa kumwita kwa kun-ya hiyo kuna kumkirimu ni sawa. Ama ikiwa katika kun-ya hiyo hakuna kumkirimu basi asimwite baba yake kwa kun-ya hiyo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
- Imechapishwa: 25/10/2017
Swali: Inajuzu kwa mtu kumwita baba yake kwa kun-ya yake ikiwa baba yake halichukii hilo?
Jibu: Ikiwa kumwita kwa kun-ya hiyo kuna kumkirimu ni sawa. Ama ikiwa katika kun-ya hiyo hakuna kumkirimu basi asimwite baba yake kwa kun-ya hiyo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
Imechapishwa: 25/10/2017
https://firqatunnajia.com/kumwita-baba-kwa-kun-ya-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)