Swali: Je, ni wajibu kwa mzazi kumuamsha mtoto wake wa kiume ambaye ana miaka saba ili aende kuswali swalah ya Fajr msikitini?
Jibu: Ndio. Anatakiwa kwenda nae msikitini ili amlee juu ya swalah na juu ya kheri. Ndio malezi mazuri. Asimwache kitandani; haya ni malezi mabaya. Hapa atakuwa amemfanyia ghushi mtoto wake. Yeye anachotaka ni kuwa mzuri kwake na kumhurumia, lakini uhakika wa mambo ni kwamba amemfanyia ghushi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (81) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-16-2-1439-01.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2018
Swali: Je, ni wajibu kwa mzazi kumuamsha mtoto wake wa kiume ambaye ana miaka saba ili aende kuswali swalah ya Fajr msikitini?
Jibu: Ndio. Anatakiwa kwenda nae msikitini ili amlee juu ya swalah na juu ya kheri. Ndio malezi mazuri. Asimwache kitandani; haya ni malezi mabaya. Hapa atakuwa amemfanyia ghushi mtoto wake. Yeye anachotaka ni kuwa mzuri kwake na kumhurumia, lakini uhakika wa mambo ni kwamba amemfanyia ghushi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (81) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-16-2-1439-01.mp3
Imechapishwa: 11/02/2018
https://firqatunnajia.com/kumfanyia-ghushi-mtoto-wa-kiume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)