597- Nilimsikia Ahmad akiulizwa kama mtu anatakiwa kuiacha Zakaat-ul-Fitwr yake msikitini au kumlisha nayo masikini. Akajibu:

“Amlishe masikini kwayo.”

598- Nilimsikia Ahmad akiulizwa kama inajuzu kukusanya Zakaat-ul-Fitwr msikitini ambapo akajibu:

“Nataraji hakuna neno.”

  • Mhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 123
  • Imechapishwa: 07/03/2021