Swali: Je, inajuzu kuchukua mkopo katika kampuni ambapo nafanya kazi ili niweze kutekeleza Hajj ya faradhi?
Jibu: Haikulazimu kuchukua madeni kwa ajili ya Hajj. Huna juu yako Hajj. Allaah (Jalla wa ´Alaa) Amesema:
وَلِلَّـهِ عَلَى النَّاسِ حِجُّ الْبَيْتِ مَنِ اسْتَطَاعَ إِلَيْهِ سَبِيلًا
”Na kwa ajili ya Allaah ni wajibu kwa watu watekeleze Hajj katika Nyumba hiyo kwa mwenye uwezo.” (03:97)
Asiyeweza hana juu yake Hajj na sio lazima kuingia katika madeni. Huku ni kujikalifisha.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (55) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-10-13.mp3
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Je, inajuzu kuchukua mkopo katika kampuni ambapo nafanya kazi ili niweze kutekeleza Hajj ya faradhi?
Jibu: Haikulazimu kuchukua madeni kwa ajili ya Hajj. Huna juu yako Hajj. Allaah (Jalla wa ´Alaa) Amesema:
وَلِلَّـهِ عَلَى النَّاسِ حِجُّ الْبَيْتِ مَنِ اسْتَطَاعَ إِلَيْهِ سَبِيلًا
”Na kwa ajili ya Allaah ni wajibu kwa watu watekeleze Hajj katika Nyumba hiyo kwa mwenye uwezo.” (03:97)
Asiyeweza hana juu yake Hajj na sio lazima kuingia katika madeni. Huku ni kujikalifisha.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (55) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-10-13.mp3
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/kukopa-kwa-ajili-ya-kuhiji/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)