Swali: Ikiwa kuna maji ya najisi peke yake na wakati wa swalah umeshaingia, nijitwaharishe na maji ya najisi au nifanye Tayammum?
Jibu: Usijitwaharishe na maji ya najisi. Uwepo wake ni kama kutokuwepo kwake. Fanya Tayammum na uswali. Katika hali hii tafuta mchanga.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdh–14340126_0.mp3
- Imechapishwa: 25/08/2020
Swali: Ikiwa kuna maji ya najisi peke yake na wakati wa swalah umeshaingia, nijitwaharishe na maji ya najisi au nifanye Tayammum?
Jibu: Usijitwaharishe na maji ya najisi. Uwepo wake ni kama kutokuwepo kwake. Fanya Tayammum na uswali. Katika hali hii tafuta mchanga.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdh–14340126_0.mp3
Imechapishwa: 25/08/2020
https://firqatunnajia.com/kujitwaharisha-na-maji-najisi-au-tayammum/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)