Swali: Baada ya kusaini makubaliano ya kibiashara na mteja, nikajirejea baada ya kutengana kimwili. Je, ni lazima kutekeleza mkataba huu ambao nimekwishauandika?
Jibu: Hapana. Una haki ya kujirejea muda wa kuwa bado ukingali hapo. Una haki ya kurudisha hata kama umekwishatia saini.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (28)
- Imechapishwa: 04/02/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket