Swali: Kujionyesha kunaingia katika mambo ya kidunia na mtu anahesabiwa kwayo?
Jibu: Matendo ya kidunia hayaingiliwa na kujionyesha. Matendo ya kidunia ni kama mfano wa mambo yaliyohalalishwa kama mfano wa kula, kunywa, kulala na kujenga nyumba kwa mtindo maalum. Isipokuwa ikiwa kama amekusudia kujifakharisha au israfu, hilo ni suala lingine. Kujionyesha kunakuwa katika matendo ya ki-Aakhirah na katika ´ibaadah.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (13) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191589#219913
- Imechapishwa: 16/02/2020
Swali: Kujionyesha kunaingia katika mambo ya kidunia na mtu anahesabiwa kwayo?
Jibu: Matendo ya kidunia hayaingiliwa na kujionyesha. Matendo ya kidunia ni kama mfano wa mambo yaliyohalalishwa kama mfano wa kula, kunywa, kulala na kujenga nyumba kwa mtindo maalum. Isipokuwa ikiwa kama amekusudia kujifakharisha au israfu, hilo ni suala lingine. Kujionyesha kunakuwa katika matendo ya ki-Aakhirah na katika ´ibaadah.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (13) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191589#219913
Imechapishwa: 16/02/2020
https://firqatunnajia.com/kujionyesha-hakuingii-katika-matendo-ya-kidunia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)