Swali: Ni ipi hukumu ya kujiliza? Ni upi sahihi wa yaliyopokelewa katika hayo?
Jibu: Imepokelewa katika baadhi ya Hadiyth:
“Msipolia basi jilizeni.”[1]
Lakini sijui usahihi wake. Ameipokea Ahmad. Lakini hivi sasa sikumbuki hiyo nyongeza iliyotajwa inayosema:
“Msipolia basi jilizeni.”
Ni kitu kimetangaa kwenye midomo ya wanazuoni. Lakini ni kitu kinachohitajia kutiliwa umuhimu zaidi. Kwa sababu mimi hivi sasa sikumbuki hali ya cheni ya wapokezi wake. Udhahiri ni kwamba asijikakame. Bali ikitokea akali basi apambane na nafsi yake asiwasumbue watu. Bali iwe ni kilio kidogo kisichokuwa na usumbufu kwa kiasi cha uwezo wake.
[1] Ibn Maajah (1327) na (4186).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/347)
- Imechapishwa: 06/11/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kujiliza? Ni upi sahihi wa yaliyopokelewa katika hayo?
Jibu: Imepokelewa katika baadhi ya Hadiyth:
“Msipolia basi jilizeni.”[1]
Lakini sijui usahihi wake. Ameipokea Ahmad. Lakini hivi sasa sikumbuki hiyo nyongeza iliyotajwa inayosema:
“Msipolia basi jilizeni.”
Ni kitu kimetangaa kwenye midomo ya wanazuoni. Lakini ni kitu kinachohitajia kutiliwa umuhimu zaidi. Kwa sababu mimi hivi sasa sikumbuki hali ya cheni ya wapokezi wake. Udhahiri ni kwamba asijikakame. Bali ikitokea akali basi apambane na nafsi yake asiwasumbue watu. Bali iwe ni kilio kidogo kisichokuwa na usumbufu kwa kiasi cha uwezo wake.
[1] Ibn Maajah (1327) na (4186).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/347)
Imechapishwa: 06/11/2021
https://firqatunnajia.com/kujiliza-katika-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)