Swali: Kuna mlinganizi anayewazungumzia kwa ubaya watawala na kusema kuwa ni wajibu kufanya uasi kwa watawala. Je, wanazingatiwa hawa kuwa wamechukua pote la Khawaarij na mfumo wa Qa´diyyah?
Jibu: Ndio, hakuna shaka yoyote juu ya hilo. Huu ni mfumo wa Khawaarij. Kuhamasisha uasi kwenyewe ni uasi.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbaad
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kanda ”al-Hamalaat al-I´laaniyyah dhiwdd Hukkaam wa ´Ulamaa’ Bilaad-il-Haramayn”
- Imechapishwa: 05/09/2020
Swali: Kuna mlinganizi anayewazungumzia kwa ubaya watawala na kusema kuwa ni wajibu kufanya uasi kwa watawala. Je, wanazingatiwa hawa kuwa wamechukua pote la Khawaarij na mfumo wa Qa´diyyah?
Jibu: Ndio, hakuna shaka yoyote juu ya hilo. Huu ni mfumo wa Khawaarij. Kuhamasisha uasi kwenyewe ni uasi.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbaad
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kanda ”al-Hamalaat al-I´laaniyyah dhiwdd Hukkaam wa ´Ulamaa’ Bilaad-il-Haramayn”
Imechapishwa: 05/09/2020
https://firqatunnajia.com/kuhamasisha-uasi-kwenyewe-ni-uasi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)