Swali: Kuna mlinganizi anayewazungumzia kwa ubaya watawala na kusema kuwa ni wajibu kufanya uasi kwa watawala. Je, wanazingatiwa hawa kuwa wamechukua pote la Khawaarij na mfumo wa Qa´diyyah?
Jibu: Ndio, hakuna shaka yoyote juu ya hilo. Huu ni mfumo wa Khawaarij. Kuhamasisha uasi kwenyewe ni uasi.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbaad
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kanda ”al-Hamalaat al-I´laaniyyah dhiwdd Hukkaam wa ´Ulamaa’ Bilaad-il-Haramayn”
- Imechapishwa: 05/09/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket