Swali: Mwalimu wa bailojia amemtaka msichana wangu kumleta sungura aliye hai kwa madhumuni ya majaribio ya anatomiki. Je, inajuzu?
Jibu: Haijuzu. Haijuzu kuwatesa wanyama. Hata hivyo kungelikuwa hakuna neno kama angelikuwa ameshakufa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (17) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtf-08011435.mp3
- Imechapishwa: 26/10/2019
Swali: Mwalimu wa bailojia amemtaka msichana wangu kumleta sungura aliye hai kwa madhumuni ya majaribio ya anatomiki. Je, inajuzu?
Jibu: Haijuzu. Haijuzu kuwatesa wanyama. Hata hivyo kungelikuwa hakuna neno kama angelikuwa ameshakufa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (17) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtf-08011435.mp3
Imechapishwa: 26/10/2019
https://firqatunnajia.com/kufanya-majaribio-kwa-sugura-kwa-lengo-la-anatomiki/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)