Swali: Nina ndugu ambao wamezowea kuchinja mnyama mmoja au wawili katika Ramadhaan kwa njia ya kutoa swadaqah kwa ajili ya Allaah. Je, imewekwa katika Shari´ah?
Jibu: Ndio, ni sawa. Ni njia ya kuwalisha watu chakula na ni jambo lenye uzito zaidi katika Ramadhaan. Ni jambo lenye ujira zaidi katika Ramadhaan kwa kuwa wafungaji wanahitajia chakula. Nyama ni njia moja wapo ya chakula.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (14) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–14330720.mp3
- Imechapishwa: 09/06/2020
Swali: Nina ndugu ambao wamezowea kuchinja mnyama mmoja au wawili katika Ramadhaan kwa njia ya kutoa swadaqah kwa ajili ya Allaah. Je, imewekwa katika Shari´ah?
Jibu: Ndio, ni sawa. Ni njia ya kuwalisha watu chakula na ni jambo lenye uzito zaidi katika Ramadhaan. Ni jambo lenye ujira zaidi katika Ramadhaan kwa kuwa wafungaji wanahitajia chakula. Nyama ni njia moja wapo ya chakula.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (14) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–14330720.mp3
Imechapishwa: 09/06/2020
https://firqatunnajia.com/kuchinja-katika-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)