Swali: Nilipokuwa njiani nakuja katika darsa nilikutana na kundi kubwa wanacheza mpira wa miguu. Nikaenda kuwakataza ambapo wakaitikia. Lakini nikawa nimechelewa katika swalah. Je, napata dhambi?
Jibu: Hukukusudia kuchelewa katika swalah. Hukukusudia hili. Wewe umefanya na unapata ujira – Allaah akitaka.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-1-17.mp3
- Imechapishwa: 11/11/2014
Jibu: Hukukusudia kuchelewa katika swalah. Hukukusudia hili. Wewe umefanya na unapata ujira – Allaah akitaka.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-1-17.mp3
Imechapishwa: 11/11/2014
http://firqatunnajia.com/kuchelewa-mkusanyiko-msikitini-kwa-ajili-ya-kufanya-dawah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)