Swali: Kuna ambao wanaapa kwa haki ya neema tukufu. Je, kuna dhambi kufanya hivo?
Jibu: Neema imeumbwa. Hivyo haijuzu kuapa kwa neema wala haki ya neema.
Swali: Wengine wanaapa kwa kusema “kwa haki ya usiku” au “kwa haki ya siku hii”. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Hali kadhalika [haijuzu]. Siku pia imeumbwa. Hivyo haijuzu kufanya hivyo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (21) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2137
- Imechapishwa: 09/07/2020
Swali: Kuna ambao wanaapa kwa haki ya neema tukufu. Je, kuna dhambi kufanya hivo?
Jibu: Neema imeumbwa. Hivyo haijuzu kuapa kwa neema wala haki ya neema.
Swali: Wengine wanaapa kwa kusema “kwa haki ya usiku” au “kwa haki ya siku hii”. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Hali kadhalika [haijuzu]. Siku pia imeumbwa. Hivyo haijuzu kufanya hivyo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (21) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2137
Imechapishwa: 09/07/2020
https://firqatunnajia.com/kuapa-kwa-haki-ya-siku-maalum/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)