Swali: Ni yepi maoni yako kwa yule ambaye kazi yake ni ngumu na anapata uzito wa kufunga. Je, itafaa kwake kuacha kufunga?
Jibu: Naona kuwa kula kwake kwa sababu ya kazi ni haramu na haijuzu. Ikiwa hawezi kukusanya kati ya kufanya kazi na kufunga basi achukue likizo katika Ramadhaan ili aweze kufunga katika Ramadhaan. Kwa sababu kufunga Ramadhaan ni nguzo miongoni mwa nguzo za Uislamu. Haifai kukiukwa.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 455
- Imechapishwa: 29/04/2020
Swali: Ni yepi maoni yako kwa yule ambaye kazi yake ni ngumu na anapata uzito wa kufunga. Je, itafaa kwake kuacha kufunga?
Jibu: Naona kuwa kula kwake kwa sababu ya kazi ni haramu na haijuzu. Ikiwa hawezi kukusanya kati ya kufanya kazi na kufunga basi achukue likizo katika Ramadhaan ili aweze kufunga katika Ramadhaan. Kwa sababu kufunga Ramadhaan ni nguzo miongoni mwa nguzo za Uislamu. Haifai kukiukwa.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 455
Imechapishwa: 29/04/2020
https://firqatunnajia.com/kuacha-kufunga-kwa-sababu-ya-kazi-ni-haramu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)