Swali: Ni ipi hukumu ya ambaye kila Ramadhaan anashika mimba na hakuweza kulipa siku anazodaiwa?
Jibu: Ni wajibu kwa mwanamke huyu anayezaa katika Ramadhaan kulipa idadi ya masiku anayodaiwa baada ya Ramadhaan. Akichelewesha kulipa mpaka kukaingia Ramadhaan nyingine bila ya udhuru wa Kishari´ah basi ni wajibu kulipa pamoja na kulisha masikini kwa kila siku moja atakayofunga. Ikiwa kuchelewesha huko ni kwa udhuru basi ni wajibu kulisha idadi ya yale masiku anayodaiwa peke yake.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/368)
- Imechapishwa: 23/06/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya ambaye kila Ramadhaan anashika mimba na hakuweza kulipa siku anazodaiwa?
Jibu: Ni wajibu kwa mwanamke huyu anayezaa katika Ramadhaan kulipa idadi ya masiku anayodaiwa baada ya Ramadhaan. Akichelewesha kulipa mpaka kukaingia Ramadhaan nyingine bila ya udhuru wa Kishari´ah basi ni wajibu kulipa pamoja na kulisha masikini kwa kila siku moja atakayofunga. Ikiwa kuchelewesha huko ni kwa udhuru basi ni wajibu kulisha idadi ya yale masiku anayodaiwa peke yake.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/368)
Imechapishwa: 23/06/2017
https://firqatunnajia.com/kila-ramadhaan-mimba/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)