Swali: Je, yapo miongoni mwa majina ya Allaah yanayokusanya jina na sifa?
Jibu: Kila jina la Allaah linatokana na dhati na sifa. Mpaka neno (الله) linajulisha dhati na uungu. Yeye (Subhaanah) ndiye Mungu anayeombwa, akaabudiwa, kunyenyekewa na kustahiki kuabudiwa kwa aina zote. Allaah (Subhaana) amesema:
ذَٰلِكَ بِأَنَّ اللَّـهَ هُوَ الْحَقُّ وَأَنَّ مَا يَدْعُونَ مِن دُونِهِ هُوَ الْبَاطِلُ
“Hivyo ni kwa kuwa Allaah ndiye wa haki na kwamba vile wanavyoomba badala Yake ndiyo batili.”[1]
[1] 22:62
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (09/74)
- Imechapishwa: 09/07/2021
Swali: Je, yapo miongoni mwa majina ya Allaah yanayokusanya jina na sifa?
Jibu: Kila jina la Allaah linatokana na dhati na sifa. Mpaka neno (الله) linajulisha dhati na uungu. Yeye (Subhaanah) ndiye Mungu anayeombwa, akaabudiwa, kunyenyekewa na kustahiki kuabudiwa kwa aina zote. Allaah (Subhaana) amesema:
ذَٰلِكَ بِأَنَّ اللَّـهَ هُوَ الْحَقُّ وَأَنَّ مَا يَدْعُونَ مِن دُونِهِ هُوَ الْبَاطِلُ
“Hivyo ni kwa kuwa Allaah ndiye wa haki na kwamba vile wanavyoomba badala Yake ndiyo batili.”[1]
[1] 22:62
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (09/74)
Imechapishwa: 09/07/2021
https://firqatunnajia.com/kila-jina-la-allaah-limebeba-sifa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)