Swali: Nimepata kazi kwenye benki inayofanya mu´amala wa ribaa. Je, inafaa kufanya kazi hapo?
Jibu: Hapana, usifanye kazi hapo. Benki zinafanya mu´amala wa ribaa. Ukifanya hapo basi umeshirikiana nao katika madhambi na uadui. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewalaani wenye kula ribaa, wenye kuitoa, wenye kuiandika na wenye kuishuhudia.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18073
- Imechapishwa: 14/07/2019
Swali: Nimepata kazi kwenye benki inayofanya mu´amala wa ribaa. Je, inafaa kufanya kazi hapo?
Jibu: Hapana, usifanye kazi hapo. Benki zinafanya mu´amala wa ribaa. Ukifanya hapo basi umeshirikiana nao katika madhambi na uadui. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewalaani wenye kula ribaa, wenye kuitoa, wenye kuiandika na wenye kuishuhudia.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18073
Imechapishwa: 14/07/2019
https://firqatunnajia.com/kazi-kwenye-benki/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)