Swali: Je, inafaa kwa mwanamke kutia nywele zake rangi nyeusi?
Jibu: Haijuzu kwa mwanamke wala mwengine kuzibadilisha mvi kwa rangi nyeusi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Zibadilisheni mvi hizi na epukeni rangi nyeusi.”
Ameipokea Muslim katika “as-Swahiyh” yake.
Lakini hapana neno kuzibadilisha kwa rangi nyingine isiyokuwa nyeusi. Pia hapana neno kuzibadilisha kwa rangi ya hina au katam iliyochanganywa muda wa kuwa rangi haitojitokeza nyeusi na badala yake ijitokeza kati ya nyeusi na nyekundu.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/53)
- Imechapishwa: 08/08/2021
Swali: Je, inafaa kwa mwanamke kutia nywele zake rangi nyeusi?
Jibu: Haijuzu kwa mwanamke wala mwengine kuzibadilisha mvi kwa rangi nyeusi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Zibadilisheni mvi hizi na epukeni rangi nyeusi.”
Ameipokea Muslim katika “as-Swahiyh” yake.
Lakini hapana neno kuzibadilisha kwa rangi nyingine isiyokuwa nyeusi. Pia hapana neno kuzibadilisha kwa rangi ya hina au katam iliyochanganywa muda wa kuwa rangi haitojitokeza nyeusi na badala yake ijitokeza kati ya nyeusi na nyekundu.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/53)
Imechapishwa: 08/08/2021
https://firqatunnajia.com/je-inafaa-kwa-mwanamke-kutia-nywele-zake-rangi-nyeusi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)