Swali: Ni istihzai ipi chache ambayo inamfanya yule mwenye kufanya hivo kukufuru?
Jibu: Haina uchache. Ni mamoja iwe kubwa au ndogo. Haina uchache. Kila aina ya istihzai na maskhara – wanachuoni wamesema hata kufanya ishara kwa macho, midomo, mikono – kunaingia katika istihzai. Haijalishi kitu hata kama mtu hakuongea.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 140
- Imechapishwa: 23/12/2018
Swali: Ni istihzai ipi chache ambayo inamfanya yule mwenye kufanya hivo kukufuru?
Jibu: Haina uchache. Ni mamoja iwe kubwa au ndogo. Haina uchache. Kila aina ya istihzai na maskhara – wanachuoni wamesema hata kufanya ishara kwa macho, midomo, mikono – kunaingia katika istihzai. Haijalishi kitu hata kama mtu hakuongea.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 140
Imechapishwa: 23/12/2018
https://firqatunnajia.com/istihzai-chache-inayomfanya-mtu-kukufuru/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)