Swali: Ni ipi hukumu ya kupeana hongera kwa ajili ya ´Iyd? Je, kuna mtindo maalum?
Jibu: Kupeana hongera kwa ajili ya ´Iyd inafaa. Hakuna hongera maalum. Yale waliyozowea watu yanafaa midhali ndani yake hakuna dhambi.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (16/210)
- Imechapishwa: 14/06/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kupeana hongera kwa ajili ya ´Iyd? Je, kuna mtindo maalum?
Jibu: Kupeana hongera kwa ajili ya ´Iyd inafaa. Hakuna hongera maalum. Yale waliyozowea watu yanafaa midhali ndani yake hakuna dhambi.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (16/210)
Imechapishwa: 14/06/2018
https://firqatunnajia.com/inafaa-kupeana-hongera-kwa-ajili-ya-iyd/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)