Swali: Kuhusu ukiukaji wa heshima za watu. Je, inafaa kupatanisha kwa njia ya kutoa kiwango fulani cha pesa? Kwa mfano mtu akimshambulia mvulana kwa kumfanyia liwati au mfano wa kitu kama hicho. Wakati wa kuhukumiana kwa hakimu akamsamehe kwa kutoa kiwango fulani cha pesa. Je, inafaa?
Jibu: Hapana, haifai. Akishaingia ndani ya adhabu haifai. Kukishathibiti adhabu basi ni lazima asimamishiwe adhabu kwa mujibu wa Shari´ah. Haijuzu kupatanisha juu ya adhabu. Ni lazima asimamishiwe adhabu kwa mujibu wa Shari´ah. Isipokuwa ikiwa kama mtu atajitolea kumsitiri pasi na fidia basi atafanya hivo baada ya kutubia. Kulifisha jambo kunaingia katika kulisitiri na yule atakayemsitiri muislamu basi Allaah atamsitiri duniani na Aakhirah na hatomfichua. Katika hali hiyo hakuna neon. Lakini yafanyike pasi na fidia.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaad-ud-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/6188/%D9%87%D9%84-%D9%8A%D8%AC%D9%88%D8%B2-%D8%A7%D9%84%D8%AA%D8%B5%D8%A7%D9%84%D8%AD-%D8%B9%D9%84%D9%89-%D9%85%D8%A7%D9%84-%D9%84%D8%A7%D8%B3%D9%82%D8%A7%D8%B7-%D8%A7%D9%84%D8%AD%D8%AF
- Imechapishwa: 06/12/2020
Swali: Kuhusu ukiukaji wa heshima za watu. Je, inafaa kupatanisha kwa njia ya kutoa kiwango fulani cha pesa? Kwa mfano mtu akimshambulia mvulana kwa kumfanyia liwati au mfano wa kitu kama hicho. Wakati wa kuhukumiana kwa hakimu akamsamehe kwa kutoa kiwango fulani cha pesa. Je, inafaa?
Jibu: Hapana, haifai. Akishaingia ndani ya adhabu haifai. Kukishathibiti adhabu basi ni lazima asimamishiwe adhabu kwa mujibu wa Shari´ah. Haijuzu kupatanisha juu ya adhabu. Ni lazima asimamishiwe adhabu kwa mujibu wa Shari´ah. Isipokuwa ikiwa kama mtu atajitolea kumsitiri pasi na fidia basi atafanya hivo baada ya kutubia. Kulifisha jambo kunaingia katika kulisitiri na yule atakayemsitiri muislamu basi Allaah atamsitiri duniani na Aakhirah na hatomfichua. Katika hali hiyo hakuna neon. Lakini yafanyike pasi na fidia.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaad-ud-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/6188/%D9%87%D9%84-%D9%8A%D8%AC%D9%88%D8%B2-%D8%A7%D9%84%D8%AA%D8%B5%D8%A7%D9%84%D8%AD-%D8%B9%D9%84%D9%89-%D9%85%D8%A7%D9%84-%D9%84%D8%A7%D8%B3%D9%82%D8%A7%D8%B7-%D8%A7%D9%84%D8%AD%D8%AF
Imechapishwa: 06/12/2020
https://firqatunnajia.com/inafaa-kupatana-juu-ya-pesa-kwa-ajili-ya-kudondosha-adhabu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)