Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke kupunguza nywele zake?
Jibu: Ikiwa ni upunguzaji unaofikia katika kiwango cha kujifananisha na kichwa cha mwanaume ni haramu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema Allaah amewalaani wanawake wenye kujifananisha na wanaume. Vivyo hivyo ikiwa ni upunguzaji wa kujifananisha na vichwa vya wanawake wa kikafiri ni haramu vilevile. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwenye kujifananisha na watu basi yeye ni katika wao.”
Mbali na hali hizo mbili kuna wanachuoni ambao wameharamisha kitendo hicho, kama [sauti haiko wazi] mfuasi wa Imaam Ahmad (Rahimahu Allaah), wengine wameonelea kuwa linachukiza – na ndio maoni yaliyotangaa katika madhehebu ya Imaam Ahmad – na kuna walioruhusu hilo.
Lililo salama zaidi ni mwanamke asipunguze isipokuwa wakati wa hajj au ´umrah.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (23)
- Imechapishwa: 08/01/2019
Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke kupunguza nywele zake?
Jibu: Ikiwa ni upunguzaji unaofikia katika kiwango cha kujifananisha na kichwa cha mwanaume ni haramu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema Allaah amewalaani wanawake wenye kujifananisha na wanaume. Vivyo hivyo ikiwa ni upunguzaji wa kujifananisha na vichwa vya wanawake wa kikafiri ni haramu vilevile. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwenye kujifananisha na watu basi yeye ni katika wao.”
Mbali na hali hizo mbili kuna wanachuoni ambao wameharamisha kitendo hicho, kama [sauti haiko wazi] mfuasi wa Imaam Ahmad (Rahimahu Allaah), wengine wameonelea kuwa linachukiza – na ndio maoni yaliyotangaa katika madhehebu ya Imaam Ahmad – na kuna walioruhusu hilo.
Lililo salama zaidi ni mwanamke asipunguze isipokuwa wakati wa hajj au ´umrah.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (23)
Imechapishwa: 08/01/2019
https://firqatunnajia.com/ibn-uthaymiyn-mwanamke-kukata-nywele-zake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)