Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kutumia vidonge vya kuzuia mimba kwa ajili ya kuchelewesha hedhi katika mwezi wa Ramadhaan?
Jibu: Hakuna neno juu ya hilo kutokana na yale manufaa yanayopatikana kwa mwanamke katika kufunga kwake pamoja na wengine na kutolipa baadaye. Hata hivyo inatakiwa kuchunga asije kudhurika. Kwa sababu baadhi ya wanawake vidonge vinawadhuru.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/201)
- Imechapishwa: 23/05/2018
Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kutumia vidonge vya kuzuia mimba kwa ajili ya kuchelewesha hedhi katika mwezi wa Ramadhaan?
Jibu: Hakuna neno juu ya hilo kutokana na yale manufaa yanayopatikana kwa mwanamke katika kufunga kwake pamoja na wengine na kutolipa baadaye. Hata hivyo inatakiwa kuchunga asije kudhurika. Kwa sababu baadhi ya wanawake vidonge vinawadhuru.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/201)
Imechapishwa: 23/05/2018
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kutumia-vidonge-vya-kuzuia-hedhi-kwa-ajili-ya-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)