Swali: Ni yapi maoni yako kwa mtu ambaye anajulikana kuwa ni walii wa Allaah. Lakini hata hivyo anavuta sigara na hawaswalishi watu Ijumaa. Lakini hata hivyo ana elimu. Elimu ni nuru ya Allaah ambayo haimpi mtenda dhambi. Vipi tutaoanisha haya?
Jibu: Ni kweli anaweza kuwa na elimu lakini ni mwanachuoni mpotevu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kikubwa ninachokikhofia juu ya Ummah wangu ni viongozi wenye kupotosha.”
Sio kila mwanachuoni anakuwa ni mwanachuoni wa uongofu. Kuna wanachuoni wa upotevu ambapo huyu ni mmoja wao. Watu wasidanganyike nae.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (11) http://alfawzan.af.org.sa/node/2054
- Imechapishwa: 13/02/2017
Swali: Ni yapi maoni yako kwa mtu ambaye anajulikana kuwa ni walii wa Allaah. Lakini hata hivyo anavuta sigara na hawaswalishi watu Ijumaa. Lakini hata hivyo ana elimu. Elimu ni nuru ya Allaah ambayo haimpi mtenda dhambi. Vipi tutaoanisha haya?
Jibu: Ni kweli anaweza kuwa na elimu lakini ni mwanachuoni mpotevu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kikubwa ninachokikhofia juu ya Ummah wangu ni viongozi wenye kupotosha.”
Sio kila mwanachuoni anakuwa ni mwanachuoni wa uongofu. Kuna wanachuoni wa upotevu ambapo huyu ni mmoja wao. Watu wasidanganyike nae.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (11) http://alfawzan.af.org.sa/node/2054
Imechapishwa: 13/02/2017
https://firqatunnajia.com/huyu-si-walii-wala-sharifu-ni-mwanachuoni-mpotevu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)