Swali: Mwenye kuacha kufanya matendo mengi mema halafu anasema kuwa anamjengea dhana njema Allaah (´Azza wa Jall) na kwamba Allaah ni Mwingi wa kusamaha na Mwingi wa huruma. Je, maneno haya ni sahihi?
Jibu: Huku ni kughurika. Si sahihi. Anatakiwa kutenda matendo mema na amdhanie Allaah vyema ya kwamba Allaah atayakubali na atamlipa kwayo. Ajenge dhana nzuri pamoja na kutenda na sio kujenga dhana nzuri kwa kutenda maovu. Huku ni kughurika ambapo mtu anajenga dhana nzuri na anaacha kufanya matendo kwa kudhani kuwa Allaah atamsamehe.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (83) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-15-3-1439-01.mp3
- Imechapishwa: 12/01/2018
Swali: Mwenye kuacha kufanya matendo mengi mema halafu anasema kuwa anamjengea dhana njema Allaah (´Azza wa Jall) na kwamba Allaah ni Mwingi wa kusamaha na Mwingi wa huruma. Je, maneno haya ni sahihi?
Jibu: Huku ni kughurika. Si sahihi. Anatakiwa kutenda matendo mema na amdhanie Allaah vyema ya kwamba Allaah atayakubali na atamlipa kwayo. Ajenge dhana nzuri pamoja na kutenda na sio kujenga dhana nzuri kwa kutenda maovu. Huku ni kughurika ambapo mtu anajenga dhana nzuri na anaacha kufanya matendo kwa kudhani kuwa Allaah atamsamehe.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (83) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-15-3-1439-01.mp3
Imechapishwa: 12/01/2018
https://firqatunnajia.com/huku-ni-kughurika/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)