Swali: Katika mji wetu wanawake wanakusanyika katika nyukumbi za mazoezi na wanacheza dufu na ngoma kwa lengo la mazoezi. Je, kitendo kama hichi kinajuzu?
Jibu: Mazoezi ambayo yana manufaa kwa mwili yanajuzu kwa sharti ikiwa wanawake wamejisitiri na hakuna wanaume wanaowaona. Katika hali hii mazoezi ni sawa. Lakini ikiwa yanaambatana na dufu na nyimbo, ni haramu. Kwa kuwa ni katika upuuzi wa haramu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdh–14340126_0.mp3
- Imechapishwa: 25/08/2020
Swali: Katika mji wetu wanawake wanakusanyika katika nyukumbi za mazoezi na wanacheza dufu na ngoma kwa lengo la mazoezi. Je, kitendo kama hichi kinajuzu?
Jibu: Mazoezi ambayo yana manufaa kwa mwili yanajuzu kwa sharti ikiwa wanawake wamejisitiri na hakuna wanaume wanaowaona. Katika hali hii mazoezi ni sawa. Lakini ikiwa yanaambatana na dufu na nyimbo, ni haramu. Kwa kuwa ni katika upuuzi wa haramu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdh–14340126_0.mp3
Imechapishwa: 25/08/2020
https://firqatunnajia.com/hapa-ndipo-mazoezi-ya-wanawake-yatajuzu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)