Swali: Je, mganga anatakiwa kukufurishwa pasi na kumsimamishia hoja?
Jibu: Ni jambo la lazima. Hakufurishwi yeyote isipokuwa baada ya kumsimamishia hoja. Kwa sababu pengine akawa mjinga na hajui. Au amewaona watu wakifanya jambo hilo na yeye akafikiria kuwa ni jambo linalofaa. Kwa hivyo ni lazima:
وَمَا كُنَّا مُعَذِّبِينَ حَتَّىٰ نَبْعَثَ رَسُولًا
”Hatukuwa Wenye kuadhibu mpaka tumtume Mtume.” (17:15)
Kwa hivyo anatakiwa kusimamishiwa hoja.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (63) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16641
- Imechapishwa: 12/03/2021
Swali: Je, mganga anatakiwa kukufurishwa pasi na kumsimamishia hoja?
Jibu: Ni jambo la lazima. Hakufurishwi yeyote isipokuwa baada ya kumsimamishia hoja. Kwa sababu pengine akawa mjinga na hajui. Au amewaona watu wakifanya jambo hilo na yeye akafikiria kuwa ni jambo linalofaa. Kwa hivyo ni lazima:
وَمَا كُنَّا مُعَذِّبِينَ حَتَّىٰ نَبْعَثَ رَسُولًا
”Hatukuwa Wenye kuadhibu mpaka tumtume Mtume.” (17:15)
Kwa hivyo anatakiwa kusimamishiwa hoja.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (63) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16641
Imechapishwa: 12/03/2021
https://firqatunnajia.com/hapa-ndipo-atakufurishwa-mganga/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)