Swali: Sikuitolea zakaah mali yangu kwa miaka kumi na tano. Nifanye nini ikiwa kama nimetubia na nataka kutoa zakaah?
Jibu: Toa zakaah juu ya miaka iliyopita. Hesabu ni pesa ngapi uzitoe. Dhimma yako haitakasiki isipokuwa kwa njia hii. Ni deni la Allaah juu yako. Hesabu ni pesa ngapi utoe.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (42) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2011%20-%201%20-%201437.mp3
- Imechapishwa: 14/03/2017
Swali: Sikuitolea zakaah mali yangu kwa miaka kumi na tano. Nifanye nini ikiwa kama nimetubia na nataka kutoa zakaah?
Jibu: Toa zakaah juu ya miaka iliyopita. Hesabu ni pesa ngapi uzitoe. Dhimma yako haitakasiki isipokuwa kwa njia hii. Ni deni la Allaah juu yako. Hesabu ni pesa ngapi utoe.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (42) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2011%20-%201%20-%201437.mp3
Imechapishwa: 14/03/2017
https://firqatunnajia.com/hakutoa-zakaah-kwa-miaka-kumi-na-tano/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)